Sheikh Aasim Daahir Al-Barqaawi (Abuu Mohamed Al Maqdisi) hatimae leo hii Allah amemwunganisha na familia yake baada ya kumaliza kifungo cha miaka 5 Gerezani.
Kesi aliyokuwa akikabiliwa Shekhe ilikuwa ni kuwafadhili kifedha Imarat Al Islmaih inayopigana nchini Afghanistaan.
Shekhe alionekana na Nyuso za Furaha ingawa alionekana kuwa na uchovu kutokana na Matatizo ya Gerezani aliyokuwemo kwa muda wa miaka 5,Shekhe alipokewa na Maelfu ya Waislaam na kufurahishwa na kuaachiwa kwake.
Mwandishi wa televisheni ya kiarabu ya Al Jazeera aliyemtembelea Shekhe amesema Abuu Mohamed Al Maqdisi kwa kipindi alimokuwemo Gerezani Allah alimfisha Ahli wake lakini Shekhe baado aneonekana kuwa na Msimamo wake wa Kisalafi Jihadi.