Ofisi ya Zakkah cha Harakat Al-Shabab Al Mujahideen imetangaza Ukusanyaji wa Zakkah ya U'ruudu Tijaaraha ambapo hukusanywa baada ya kuingia Mwezi mtukufu wa Ramadhaan.
Sheikh Suldaan Mohamed Aala Mohamed,mkuu wa ukusanyaji na utoaji wa Ibada hiyo ya Zakkah amewataka jamii ya Kislaam waliopo kwenye Wilayaati za Kislaam nchini Somalia kushiriki katika zoezi hilo la kukusanya Zakkah.
Chanzo:Radio Alfurqaan