Msemaji wa Harakat Al-Shabab Al Mujahideen Sheikh Ali Mahamuud Rage Al Maarufu "Sheikh Ali Dere" amefafanua opresheni iliyofanyika leo katika Makao ya Bunge la Serikali ya FG.
Sheikh Ali Dere amesema Mujahidina wamefanya shambulio iliyopangwa vyema kwenye chimbuko la kutunga Sheria kinyume na Sheria za Allah Bunge la Kitaghuti la Serikali ya FG,na amethibitisha kuwaua Wanajeshi 30 wa Serikali na Wanajeshi wawili wa AMISOM khusasan kutoka Uganda.
Harakat Al-Shabab Al Mujahideen imetoa wito kwa Wanajeshi wa Serikali ya FG wanaolinda kwenye majengo ya Serikali na kusema kuwa "Nyinyi ni Vijana wa Kisomali ondokeni kwenye Udhalili mliomo hatupenda vifo vyenu na tunapenda kuwaona mkifanya Towba na kufa hali ya kuwa mkiwa waislaam".
Mujahidina wa Somalia wametangaza Vita dhidi ya Maaskari wanaojulikana kuwa ni Polisi wa usalama wa Barabarani Trafki "Hao Matrafki tunawaambia mara nyingi tuliwaacha lakini mmekuwa ni wajumbe waliosimama Mabarabarani kwanza leo ni walengwa wa Mujahidina ikiwa hamtoachana na vitndo hivyo",alimalizia kusema Sheikh Ali Dere.