![](https://somalimemo24.info/uploads/article/photo/thumbs/IMG_77EE95-B8C805-6A7220-8B4198-9420F6-02B6BD.jpg)
Ndege za Kijeshi za Kenya yashambulia Raia kwenye mji wa Khadija Haji iliyopo Mkoani Gedo Kusini Magharibi mwa Somalia.
Habari kutoka Mkoani Gedo kusini Magharibi mwa Ardhi ya Somalia zinaeleza kuwa Wanajeshi wa Kenya wamefanya mashambulio ya kinyama dhidi ya Makazi wanaoishi Raia wasio na hatia.