Kuna taarifa zaidi zilizopatikana kuhusiana na mapigano makali yaliotokea masaa kadhaa yaliopita katika Mkoa wa Lower Jubba Kusini mwa Ardhi ya Somalia.
Habari kutoka mjini Kismaayo zinaeleza kuwa Vikosi vya Mujahidina wa Wilayatul Islamiah ya Lower Jubba walifanya shambulio kubwa kwenye kambi ya Wanajeshi wa Kenya yaliopo kwenye chuo kikuu cha mjini Kismaayo.
Wakaazi wa eneo hilo walisema walisikia milio ya silaha nzito na yale ya rashasha waliokuwa wakishambuliana.
Upande mwingine Mujahidina walishambulia Kisiwa cha Madowa iliyopo mkoa wa Lower Jubba,Duru ziliarifu kuwa Vikosi vya Harakat Al-Shabab Al Mujahideen waliokuwa na maboti madogo yanayokwenda kwa kasi walianza kufanya mashambulio kwenye kisiwa hicho ambapo kuna Wanamgambo kadhaa wa Mhalifu wa Kivita Ahmed Madobe anae ungwa mkono na Serikali ya Kenya.
Liban Jehow Abdi
SomaliMemo,Mugadishu