Kitengo cha habari na Matangazo cha Al Kata'ib iliyo chini ya Harakat Al-Shabab Al Mujahideen kimetoa sehemu ya 6 ya mfululizo wa Makala yaliopewa jina la من الذاكرة ambalo huelezea wasifu wa baadhi ya Maofisa wa Mujahidina.
Katika sehemu hii ya 6 inayotizamwa kwa mwendo wa dakika 23 hivi Al Kata'ib inawaonyesha Mashuhadaa watatu ambao wote ni Muhajirina na kuruzukiwa Shahada kwa nyakati tofauti.
1- Ibrahim Al-Maghribi
2- Jarraah Al-Muhajiri
3- Ammar Al-Muhajiri
Katika miezi ya hivi karibuni Kitengo cha Al-Kata'ib kilicho chini ya Harakat Al-Shabab Al Mujahideen ilikuwa ikitoa mfululizo wa makala inayozungumzia Harakati ya Jihadi inayoendelea katika Ardhi ya Somalia.
TIZAMA VIDEO HAPA KWA MFUMO WA YOUTUBE