Vituo vya Utawala wa Syria katika Mkoa wa Deyrazuur yaingia mikononi mwa Dola ya Kiislaam.

Sunday May 10, 2015 - 11:59:20
16441
Super Admin
Utawala kibaraka nchini Syria inakutana na hali ngumu kutoka kila pande baada ya Mujahidina na makundi ya upinzani kuuteka mikoa na miji Muhimu nchini humo.


Habari kutoka nchini Syria zinaeleza kuwa vikosi vya Mujahidina wa Dola ya Kiislaam wamefanya mashambulio makubwa ya kivita katika vituo vya kijeshi viliobakia kwenye mkoa wa Deyrazuur iliyok upande wa Kaskazini Mashariki mwa Syria.


Televisheni ya Al Jazeera imetangaza kuwa vituo vya kijeshi wa Utawala wa Bashar katika mkoa wa Deyrazuur yameingia mikononi mwa vikosi vya Dola ya Kiislaam wanaojulikana IS,Makumi ya Wanajeshi wa Kinidhamu wanaaminika kuangamia kwenye mapigano hayo huko baadhi ya mitaa na vijiji muhimu wakiwa wameachia na kuingia mikononi mwa IS.


Baadhi ya Waandishi wa habari waliokataa kutajwa majina yao ambao wako Deyrazuur wamesema Siku tatu zilizopita vikosi vya IS wameutwaa Maeneo muhimu katika mji huo huko wakitumia Mbinu mpya muhimu.


Baadhi ya Maofisa wa Mujahidina wa Dola ya Kiislaam wamekiri kuwa lengo la uvamizi huo walioufanya ni kuukomboa Deyrazuur kutoka mikononi mwa Makundi ya Kinuseyria.


Maripota wa vuguvugu la mapinduzi la nchini Syria wamesema IS tayari wamekwisha ukata mawasiiano yote ya mkoa huo ikiwemo ile ya Internet na kutangaza hali ya kutotoka nje kwenye maeneo yote inayotawala katika mkoa wa Deyrazuur.


Mujahidina wameutwaa Ngome muhimu ya Jeymaan Al Muni'i na ngome hiyo inatajwa kuwa ni Ngome ya kwanza ya Jeshi la mji wa Deyrazuur katika Utawala wa Bashaar Al Asad.


"Vituo vya kijeshi wa Utawala wa Bashar Al Asad inazidi kuingia katika mikoni ya vikosi vya Dola ya Kiislaam baada ya mzingiro uliowekwa kwa miezi kadhaa uliopita",ilisema sehemu ya Taarifa Rasmi kutoka kwa IS.


Ikiwa makao makuu ya mkoa wa Deyrazuur imeingia mikononi mwa Mujahidina basi itakuwa mji wa Pili ambao ndani ya siku 60 imetoka chini ya Utawala wa Bashar Al Asad,mwezi uliopita vikosi vya Jeyshul Fat-hi iliwafurusha Wanajeshi wa Kinuseyria na kuukomboa mji wa Idlib makao makuu ya mkoa huo.


Chanzo:Aljazeera

Murad Jama
SomaliMemo,Dubai

Related Items

Update cookies preferences