Amiri wa Dola ya Kislaam aahidi kufanya nursa kwa Waislaam wa Falastine,China na Afrika ya Kati.

Thursday July 03, 2014 - 01:08:33
8092
Super Admin
Sheikh Ibrahim Awadh Amiri wa Dola ya Kislaam ametoa ujumbe wake kwa mara ya kwanza tangu vikosi vya Mujahidina walipoutwaa Maeneo makubwa katika Ardhi ya Iraq na Syria.



Sheikh Ibrahim Awadh "Abuu Bakar Al Baghdaadi" katika ujumbe wake amezungumza na Mujahidina pamoja na Waislaam kwa ujumla na tunaweza kusema kuwa ni ujumbe ambao umekuja wakati wake unaostahiki na pia ujumbe wa Amiri yafaa kuandikwa kwa wino wa dhahabu.





Amewaamuru Wanajeshi Mujahidina kuwahurumia Wananchi wa Kiislaam wa Ahlu Sunna waliopo Iraq ambao hivi karibuni Allah aliwakomboa kupitia kwa mikono ya Mujahidina wa Dola ya Kislaam.





Hata hivyo Amiri ameahidi kuwafanyia Nusra na kusimama nao bega kwa bega na Waislaam wanaofanyiwa Madhila wa Afrika ya Kati,Falastine na China.



Related Items

Update cookies preferences