Vikosi vya Jeshi la Baharini wa Al-Shabab washambulia Visiwa vilio karibu na mji wa Kismaayo.

Thursday July 10, 2014 - 23:54:48
8448
Super Admin
Vikosi vya Mujahidina wa Wilayatul Islamiah ya Lower Jubba wamefanya mashambulio makubwa kwa Wanamgambo wa Ahmed Madoobe waliokuwa Baharini.




Habari kutoka Mkoa wa Lower Jubba zinaeleza kuwa Vikosi vya Mujahidina wa Al-Shabab wanaohusika na ulinzi wa Baharini walifanya mashambulio ya pande kadhaa kwenye Visiwa vya Madawa na Julaay ambapo iko karibu na mji wa Kismaayo kwa umbali wa 120 KM.





Duru zinaeleza kuwa Wanamgambo wa Mhalifu wa Kivita Ahmed Madobe wametwishwa Hasara ya maisha na wengine kupata majeraha mabaya kwenye shambulio hilo.




Vikosi vya Jeshi la Baharini vya Harakat Al-Shabab Al Mujahideen wamewazingira Wanamgmbo wa Ahmed Madobe kwenye Visiwa vya Madawa na Julaay.




Mujahidina wa Al-Shabab walionekana wakiwa na Boti zainazokwenda kwa Kasi kwenye Bahari ya Hindi wakisaka Meli ya Kijeshi inayomilikiwa na Serikali ya Kenya.



Mahad Yare 


SomaliMemo,Mugadishu


Related Items

Update cookies preferences