PICHA:Vikosi vya Dola ya Kislaam waziteketeza vifaru na zana za kivita kwenye mapigano makali yaliofanyika mji wa Al-Anbaar.

Friday July 11, 2014 - 23:00:47
12254
Super Admin
Vifari vya Wanajeshi wa Kishia wa Nuri Al Maliki zikiteketea kwa Moto.
Vifari vya Wanajeshi wa Kishia wa Nuri Al Maliki zikiteketea kwa Moto.
Nchi ya Iraq baado kunaendelea Mapambano ya Jihadi kati ya Waislaam wa Kisunni na yale ya Kishia yakisaidiwa na Jamhuri ya Kishia ya Iran.




Wanajeshi wa Dola ya Kislaam baado wanaendelea na mapigano yao ya Kimalhama ya kuzikomboa Ardhi za Waislaam kutoka mikononi mwa Mashia wa Kisafwaniya.




Habari kutoka nchini Iraq zinaeleza kuwa jana kulifanyika mapigano makali ambayo Mujahidina waliingia na Maadui wa Kishia wa Kisafwaniya ambao baado wanaonekana kubakia baadhi ya Miji ya Waislaam nchini Iraq.




Baada ya Mapigano yaliodumu masaa kadhaa Mujahidina wa Dola ya Kislaam walifanikiwa kwa uwezo wa Allah kuudhibiti baadhi ya miji zilizopo chini ya mkoa wa Dayaala ambao ni baadhi ya Mikoa zilizokumbwa na Mapigano nchini Iraq.




Shirika la habari la Al-Jazeera limearifu kuwa Mujahidina wameudhibiti mji wa Al Suduur iliyo Kaskazini Mashariki mwa mkoa wa Dayaala nchini Iraq.




Kwenye ukurasa wa mtandao wa kijamii wa Twitter Wilayatul Islamiah ya Dayaala imethibitisha kukombolewa kwa mji wa Al Suduur iliyo mji muhimu nchini Iraq ambapo iko karibu na Kambi kubwa ya Jeshi la Iraq inayojulikana Al Faylaqa 2.




Umuhimu wa pili wa mji huo ni kuunganisha na mji wa Muusil na miji mingine nchini Iraq.




Habari zaidi zinaeleza kuwa Mujahidina kwa mara ya kwanza walitumia magari yao ya kivita kwenye mapigano ya jana,na pia walitumia Vifari pamoja na zana za kivita,makombora mazito hali iliyosababisha Maadui kuikimbia mji wa Al Suduur.





Upande mwingine mapigano yaliofanyika nje kidogo ya mji wa Al Ramaadi ilisababisha hasara kubwa kwa Wanajeshi wa Nuri Al Maliki.




Magari za Kivita waliokuwa nazo Wanajeshi wa Kishia zimeteketezwa kwa moto,Picha kadhaa zilizosambazwa na ukuruasa wa Twitter wa Wilayatul Islamiah ya Al Anbaar ilionyesha uharibifu mkubwa uliokumbwa Magari hizo za Kivita.










Related Items

Update cookies preferences