Vikosi vya Mujahidina wa Taliban wamefanya shambulio la kuvizia dhidi ya msafara wa Magari zilizobeba Shehena za Silaha na vyakula pamoja na vifaa vya Kijeshi kwa Wanajeshi wa NATO waliopo nchini Afghanistaan.
Msafara huo wa Magari waliokuwa wakitoka nchini Afghanistaan wameshambulio katika njia iliyo karibu na mpaka wa Afghanistaan na Pakistan,ambapo Msafara wote wa Magari hayo yaliteketezwa kwa Moto.
Utawala wa Pakistaan uliozungumzia mkasa huo imesema Wanajeshi wa NATO wamepata hasara kubwa iliyosababishwa na shambulio dhidi ya Msafara huo wa Magari yaliobeba Shehena za Kijeshi.
![](https://s01.justpaste.it/files/justpaste/d90/a4875106/140619101137-nato-tankers-attackp_small.jpg)
![](https://s01.justpaste.it/files/justpaste/d90/a4875106/140619102700-nato-tanker-attackep_small.jpg)
![](https://s02.justpaste.it/files/justpaste/d90/a4875106/140619102747-nato-tanker-attackep_small.jpg)
![](https://s01.justpaste.it/files/justpaste/d90/a4875106/140619102828-nato-tanker-attackep_small.jpg)
![](https://s02.justpaste.it/files/justpaste/d90/a4875106/140619104633-nato-tankers-attackp_small.jpg)
![](https://s01.justpaste.it/files/justpaste/d90/a4875106/140619104744-nato-tankers-attackp_small.jpg)