Wilayatul Islamiah ya Galgaduud imetoa taarifa ya hali ya maendeleo kwenye Wilaya hiyo ambapo baadhi ya sehemu kuna wanajeshi wavamizi kutoka Ethiopia.
Sheikh Hassan Ali Ya'qub ambae ni Waali wa Wilayatul Islamiah ya Galgaduud amesema alipokuwa akifanya mahojiano na Radio Al Andalus kuwa Mwezi mtukufu wa Ramadhaan Mujahidina watazidisha mashambulio yao dhidi ya Maadui wavamizi kwenye Ardhi ya Kislaam ya Somalia.