Harakat Al-Shabab Al Mujahideen yatangaza kuwa siku ya kesho ni Sha'abaan 30.

Friday June 27, 2014 - 21:18:29
Super Admin
Harakat Al-Shabab Al Mujahideen imetangaza kuwa siku ya kesho si Ramadhan na hivyo kesho kuwa siku ya mwisho wa Sha'aban.





Watumishi wa ofisi ya haki na Sheria ya Harakat Al-Shabab Al Mujahideen imesema hayo baada ya kufanya juhudi ya kutafuta mwandamo wa mwezi wa Ramadhaan na kutangaza kuwa siku ya Jumapili ndio Ramadhani Mosi.





Radio Al Andalus inayozungumza kwa niaba ya Harakat Al-Shabab Al Mujahideen nayo imetangaza kuwa siku ya kesho itakuwa Sha'aban 30 1435 Inshallah.




Maeneo yote ya Wilayati za Kislaam Kusini na katikati mwa Ardhi ya Somalia hakuna sehemu iliyoonekana mwandamo wa Mwezi mtukufu wa Ramadhaan

Related Items

Update cookies preferences