Kitengo cha habari na matangazo cha Al-Kata'ib kilicho chini ya Harakat Al-Shabab Al Mujahideen kimetoa nakala nyingine ya mfululizo wa makala yaliopewa inwani ya من الذاكرة 5.
Katika sehemu hii ya video itaonyeshwa Istish-haadi ya Ramzi ambae alikuwa Mujahid aliyehama kutoka Kenya,Sheikh Ali Dere Msemaji mkuu wa Harakat Al-Shabab Al Mujahideen amezungumzia Istish-haadi ya kiongozi huyo Ramzi na kusema kuwa Ramzi alihama kutoka nchi yake kwajili tu na lengo la kuinyanyua Kalima ya Allah iwe juu.
Afisa mwingine aliyezungumza kwa lugha Kiingereza pia alionekana katika video hiyo lakini haikubanisha kipindi cha Istish-haadi yake na eneo alikopatia Shahada Ramzi anaetoka katika mkoa wa Pwani mwa Kenya ambao wakaaze wake ni waislaam.
![http://wata.cc/up/2015/04/images/w-780388c105.jpg](http://wata.cc/up/2015/04/images/w-780388c105.jpg)
![http://wata.cc/up/2015/04/images/w-c6e45a26dc.jpg](http://wata.cc/up/2015/04/images/w-c6e45a26dc.jpg)
![http://wata.cc/up/2015/04/images/w-7c80d59ac7.png](http://wata.cc/up/2015/04/images/w-7c80d59ac7.png)
![http://wata.cc/up/2015/04/images/w-02fc590c9f.jpg](http://wata.cc/up/2015/04/images/w-02fc590c9f.jpg)
TIZAMA VIDEO HAPA