Vikosi vya Mujahidina wa Wilayatul Islamiah ya Bay na Bakool wamekabiliana vikali na Wanajeshi wavamizi wa Misalaba kutoka Ethiopia ambapo walikuwa wakisafiria nje ya mji wa Radbuurre.
Habari kutoka Bakool zinaeleza kuwa jana mida ya jioni kuliibuka mapigano makali kwenye Ardhi iliyo na Pori ya Msitu mkubwa iliyopo katikati mwa miji ya Waajid na Radbuurre.
Vyanzo vya kuaminika vinaeleza kuwa Wanajeshi hao wavamizi kutoka Ethiopia walipoteza Gari mmoja kwenye makabiliano hayo.
Upande mwingine Wanajeshi wa Kislaam katika Utawala wa Kislaam mji wa Deydelow waliwashambulia Wanamgambo wa kisomali wanaosaidiana na Wanajeshi wa Misalaba kutoka Ethiopia ambapo walijaribu kuivamia mji huo.
Mwandishi Ali Yare aliyoko mkoa wa Bay anaarifu kuwa Wanamgambo 6 wa Kisomali wanaosaidiana na Wanajeshi wa Ethiopia wameuawa kwenye mapigano hayo ya jana,habari za mwishoni zinaeleza kuwa wavamizi waliotaka kuivamia mji wa Deydelow umerejea walikotokea baada ya kushindwa kuingia mji huo.
Mahad Yare
SomaliMemo,Mugadishu