Dola ya Kislaam imetangaza kubadili jina la awali iliyokuwa Dola ya Kislaam ya Iraq na Shaam na kwa sasa litaitwa kuwa ni Dola ya Kislaam.
Sheikh Mohamed Al Adnani Msemaji wa Dola ya Kislaam ametoa ujumbe mpya na kusema kuwa baada ya kukutana Baraza la Shura la Dola ya Kislaam wameingia Bey'a na Amiri Sheikh Abuu Bakar Al Baghdaad "Khalifa wa waislaam"
Upande mwingine ujumbe wa Video uliotolewa na Shirika la habari na utangazaji la Al Furqaan iliyo chini ya Dola ya Kislaam kwa mara ya kwanza ameonekana Sheikh Mohamed Al Adnani akiwa kwenye sherehe ya ubomoaji wa Mpaka wa kizushi kati ya Iraq na Syria.
Dola ya Kislaam inatawala maeneo makubwa ya nchi za Iraq na Syria mwanzoni mwa mwezi June,2014 Vikosi vyake viliutwaa Mji wa Muusil ambayo ni wa pili kwa ukubwa nchini Iraq.
Na pia Dola ya Kislaam inaudhibiti Miji ya Tikrit,Al Falluujah na maeneo mengine ya mji wa Al Ramaadi.