Sheikh Abuu Mus'ab "Afisa wa CID aliyekuwa akisikiliza simu za watu Mujahidina wamemmaliza mjini Mugadishu"

Tuesday July 15, 2014 - 10:43:41
8404
Super Admin
Uongozi wa Kijeshi wa Harakat Al-Shabab Al Mujahideen umefafanua opresheni uliofanyika katika mji wa Mugadishu na baadhi ya maeneo yalioko mkoa wa Lower Shabelle nchini Somalia.



Sheikh Abdulaziz Abuu Mus'ab msemaji wa kijeshi wa Al-Shabab amefafanua kazi waliokuwa wakifanya maofisa waliouawa mjini Mugadishu kwa niaba ya Maadui wa Kigeni waliovamia Ardhi ya Somalia.



Sheikh Abuu Mus'ab amesema kikosi chao Maalum wamemwua Col.Ibrahim Ahmed Farah aliyekuwa na cheo cha Unaibu mkuu wa Kupambana na Ugaidi.



"Mujahidina walimwua Afisa huyo wa kupambana na Uislaam Ibrahim Ahmed Farah na mwenzake katika Barabara inayounganisha Wilaya ya Waberi na Hamar Jajab mjini Mugaidhu,Murtadi huyo alikuwa kwenye kitengo cha kuwafanyia Waislaam ujasusi yaliopo Kambi ya Halane",alisema Msemaji wa Kijeshi wa Harakat Al-Shabab Al Mujahideen.



Msemaji wa kijeshi wa Al-Shabab Sheikh Abuu Mus'ab amesema Afisa huyo aliyeuawa alikuwa ni kiunganisha mkubwa wa CID wa Serikali ya FG na yale ya Kimarekani na pia alikuwa kwenye kitengo maalum yalio na vifaa vya kusikiliza simu za watu iliyopo kwenye kambi kuu ya Maadui wa Kigeni inayojulikana Halane.




Related Items

Update cookies preferences