SOMA:Al-Qaida Tawi la Maghribul Islaam yatoa wito wa kusuluhishwa hitilafu uliopo Shaam.

Wednesday July 16, 2014 - 23:42:25
9474
Super Admin
Kiongozi mkuu wa Tandimul Qaidatul Jihad Dr.Ayman Al Dawahir.
Kiongozi mkuu wa Tandimul Qaidatul Jihad Dr.Ayman Al Dawahir.
Tandimul Qaida Tawi la Maghribul Islaam imetoa taarifa kwa vyombo vya habari juu ya mowqif yake kuhusiana na mgongano uliopo baina ya Kundi kubwa la Al-Qaida na Dola ya Kislaam.



Al-Qaida Tawi la Afrika ya kaskazini imerudia kuhusu msimamo wake wa kuendelea kukazania Bey'ah iliyompa Amiri wa Tandimul Qaidatul Jihad Dr.Sheikh Ayman Al Dawahiri ambae ni Amiri mkuu wa Al-Qaida na Matawi yake.




Kwenye taarifa hiyo iliwahusia viongozi wote wa Mujahidina kusimamia kusuluhisha Ikhtilafu zilizopo baina ya Mujahidina wa Ardhi ya Shaam.



Related Items

Update cookies preferences