Tandimul Qaida Tawi la Maghribul Islaam imetoa taarifa kwa vyombo vya habari juu ya mowqif yake kuhusiana na mgongano uliopo baina ya Kundi kubwa la Al-Qaida na Dola ya Kislaam.
Al-Qaida Tawi la Afrika ya kaskazini imerudia kuhusu msimamo wake wa kuendelea kukazania Bey'ah iliyompa Amiri wa Tandimul Qaidatul Jihad Dr.Sheikh Ayman Al Dawahiri ambae ni Amiri mkuu wa Al-Qaida na Matawi yake.
Kwenye taarifa hiyo iliwahusia viongozi wote wa Mujahidina kusimamia kusuluhisha Ikhtilafu zilizopo baina ya Mujahidina wa Ardhi ya Shaam.