Maaskari 11 wauawa na kujeruhiwa kwenye milipuko yalioutikisa mji wa Mugadishu jana usiku.

Friday July 04, 2014 - 16:11:24
7379
Super Admin
Wanamgambo wa Serikali ya FG wakiwa wamepata hasara katika mji wa Mugadishu.
Wanamgambo wa Serikali ya FG wakiwa wamepata hasara katika mji wa Mugadishu.
Kuna maelezo zaidi kuhusiana na milipuko kadhaa yalioutikisa katika mitaa mbalimbali mjini Mugadishu wakati ambapo hali ya usalama ukiwa ukiwa tete.





Maaskari wawili wa usalama wameuawa katika shambulio iliyofanyika karibu na Barabara ya Warshadaha Kaskazini mwa mji wa Mugadishu,mashuhuda wanasema Milipuko yaliofuatana yaliwajeruhi Maaskari 9 karibu na eneo la Hospitali ya Arafat huko Maaskari wawili wakiuawa karibu na Makaburi ya Barakaat baada ya kuviziwa.




Kwenye makutano ya Barabara ya Mizanka Duhusha kumefanyika shambulio la Bomu ambapo walilengwa Maaskari Polisi,kwa uchache jana usiku kulifanyika milipuko 11 ambapo yote yaliwalenga Maaskari wa Usalama wa Serikali ya FG mjini Mugadishu.





Liban Jehow Abdi


SomaliMemo,Mugaishu


Related Items

Update cookies preferences