Kuna maelezo zaidi kuhusiana na milipuko kadhaa yalioutikisa katika mitaa mbalimbali mjini Mugadishu wakati ambapo hali ya usalama ukiwa ukiwa tete.
Maaskari wawili wa usalama wameuawa katika shambulio iliyofanyika karibu na Barabara ya Warshadaha Kaskazini mwa mji wa Mugadishu,mashuhuda wanasema Milipuko yaliofuatana yaliwajeruhi Maaskari 9 karibu na eneo la Hospitali ya Arafat huko Maaskari wawili wakiuawa karibu na Makaburi ya Barakaat baada ya kuviziwa.
Kwenye makutano ya Barabara ya Mizanka Duhusha kumefanyika shambulio la Bomu ambapo walilengwa Maaskari Polisi,kwa uchache jana usiku kulifanyika milipuko 11 ambapo yote yaliwalenga Maaskari wa Usalama wa Serikali ya FG mjini Mugadishu.
Liban Jehow Abdi
SomaliMemo,Mugaishu