![](https://somalimemo24.info/uploads/article/photo/thumbs/IMG_CE515C-9E0975-BE0E78-0116DF-1ADE61-8C2641.jpg)
Maaskari waliouawa kwenye mji wa Afgooye na shambulio iliyofanyika mji wa Yaqshiid.
Habari kutoka Wilaya ya Afgooye mkoani Lower Shabelle zinaeleza kuwa kumefanyika shambulio kwenye basi waliokuwa wakisafiri Wanajeshi wa Serikali ya TFG na kusababisha hasara.