UFAFANUZI:Maofisa wakuu wa Jeshi la Djibuti wauawa kwenye opresheni iliyofanyika mji wa Buula Barde.
Kumepatikana maelezo zaidi kuhusiana na shambulio kubwa iliyofanywa na Vikosi maalum wa Harakat Al-Shabab Al Mujahideen kwenye mji wa Buula Barde katika Kambi kuu ya Wanajeshi wa AMISOM khususan yale ya kutoka Djibuti.