![Wabunge wa Serikali ya FG wakiwa kwenye Kikao mmoja wapo ya Bunge hilo.](https://somalimemo24.info/uploads/article/photo/thumbs/IMG_0BEC3D-78B27D-D1DD17-5E87EF-EC6AC5-DBF9D3.jpg)
Al-Shabab wadai kuhusika Kifo cha Mbunge aliyeuawa mjini Mugadishu na kuwaonya wabunge.
Msemaji aliyezungumza kwa niaba ya Harakat Al-Shabab Al Mujahideen amethibitisha kuwa vikosi vyao leo wametekeleza opresheni maalum katika mji wa Mugadishu.